Patrice Lumumba: Athari za Covid zachelewesha kurejeshwa kwa jino la shujaa wa uhuru wa Congo Patrice Lumumba

Alisema hospitali za nchi hiyo zimejaa huku visa na vifo vitokanavyo na ugonjwa huo wa Covid1-19 vikiongozeka.

Mwaka 2002, Ubelgiji ilikubali kuwajibika na kifo chake, kitu ambacho Shirika la ujasusi la Marekani (CIA), linaamini kwamba kilichangia kusababisha vita baridi kati ya Marekani na Muungano wa Soviet.

Post a Comment

Previous Post Next Post