Tetesi za soka Ulaya Jumatatu 14.06.2021: Coutinho, Cornet, Kane, Bellingham, Silva, Lingard, Fekir, Buffon

Kiungo wa kihispania, Juan Mata, 33, atalazimika kuchukua mshahara kiduchu wa £70,000 kwa wiki kama anataka kuendelea kusalia Manchester United baada ya mkataba wake kumalizika mwishoni mwa mwezi huu. (Star)

Post a Comment

Previous Post Next Post