Uganda kugawa fedha kwa watakaoathirika na lockdown

0


Serikali ya Uganda imesema itatoa fedha kwa njia ya mtandao kwa raia walioathirika na ‘lockdown’ ya pili.

Uganda iliwahi kuwa na utaratibu wa ugawaji chakula ilipotangaza lockdown ya kwanza Aprili 2020, ambapo lilikosolewa kwa kuwa walengwa hawakufikiwa

Kutokana na changamoto hiyo, walengwa watapewa fedha kwa njia ya simu na wale ambao hawatakuwa na simu watapewa vocha maalum.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable