Zanzibar: Hakuna mgeni kuingia bila cheti cha kuthibitisha kutokuwa na maambukizi ya Covid 19

0


Katika kupambana na maambukizi ya Wimbi la Tatu la #COVID19, Waziri wa Afya wa Zanzibar, Nassor Ahmed Mazrui amesema hakuna mgeni atakayeruhusiwa kuingia bila kuwa na cheti ya kuthibitisha kutokuwa na maambukizi

Wizara ya Afya imewataka Wananchi kuchukua tahadhari ikiwa ni pamoja na kuvaa barakoa, kutumia vitakasa mikono na kuepuka mikusanyiko isiyo ya lazima

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable