Ramla Ali aweka historia kwa kuwa Bondia wa kwanza wa kike wa Olimpiki kuiwakilisha Somalia

0

 


Ramla Ali, mwanamke wa Kisomali, ameandikisha historia kwa nchi yake kwa mara nyingine, na kuwa mwanamke wa kwanza wa Somali kushriki mashindnao ya Olimpiki.

Ramla ametangaza kwenye Twitter leo kwamba amefuzu kwa Michezo hiyo.

Atakuwa mwanamke wa kwanza kuwahi kushindana kitaalam kwenye Olimpiki akiwakilisha Somalia.

Wakati mashindano ya Olimpiki yakianza mwezi huu, Somalia ina wanariadha wanaowakilisha nchi kwenye mashindano hayo mwaka huu.

Ramla Ali, atajiunga na katika Olimpiki na Munirah Warsame, ambaye pia anawakilisha Somalia uwanjani .

Ramla hatasafiri na timu yake, kulingana na taarifa kwenye Twitter. Walakini, mumewe atakuwa naye.

Ramla Ali
Ramla Ali

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable