Watoto 2000 waliopoteana na familia zao wakati wa mlipuko wa volcano DRC waungana tena na familia

0

 


Miezi kadhaa baada ya volkano kulipuka karibu na mji wa Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, mashirika ya misaada bado yanajaribu kuwaunganisha watoto waliotengwa na familia zao.

Binti mmja kwa jina Sarah, ambaye hufanya kazi na watoto wa mitaani, ameifanya kazi ya kuwaunganisha watoto na wazazi wao.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable