Miezi kadhaa baada ya volkano kulipuka karibu na mji wa Goma nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, mashirika ya misaada bado yanajaribu kuwaunganisha watoto waliotengwa na familia zao.
Binti mmja kwa jina Sarah, ambaye hufanya kazi na watoto wa mitaani, ameifanya kazi ya kuwaunganisha watoto na wazazi wao.
