Miili miwili ikiwemo wa Fausta Tesha (26) na mwanae

0
Miili miwili ikiwemo wa Fausta Tesha (26) na mwanae Joseph Mfanyakazi mwenye umri wa siku 14 ikiwa imewasili nyumbani kwao katika kijiji cha Mero Kata Kirua Vunjo Mashariki wilaya ya Moshi Vijijini, kwa ajili ya kufanyiwa ibada ya maziko.
Fausta na mwanae wanadaiwa kuawa na mume wake baada ya mwanaume huyo kusema mtoto aliyezaliwa sio wake.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable