SERIKALI YASHAURIWA KUTOZA KODI BIASHARA ZA MITANDAONI

0

 






SERIKALI YASHAURIWA KUTOZA KODI BIASHARA ZA MITANDAONI: Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Bajeti, Sillo Baran amesema huu ni wakati muafaka kwa Serikali kuendelea kutafuta vyanzo zaidi vya mapato ya ndani ikiwemo kuanza kutoza kodi biashara za mtandaoni kitu kitakachoepusha nchi kushindwa kutekeleza bajeti mara Washirika wa Maendeleo wanapoacha kutoa fedha.
#mitandao #biashara #kodi #bajetiyandani #kamatiyabajeti #mapato #Fedha #maendeleo

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable