“Katika wakati muhimu wa Watanzania kushikamana ni wakati huu, wakati wa kujenga umoja ni huu, sio wakati wa kusikiliza maneno ya kutoka nje yakatuparaganisha, tuchape kazi, tujenge umoja ili Tanzania iwe Taifa imara”-Mama Samia Suluhu, Makamu wa Rais wa Tanzania akiwa ziarani Tanga
“Niwahakikishie Wananchi, Tanzania tuko salama, chapeni kazi ili kuleta maendeleo, uimara wa Taifa letu unaleta maneno mengi, msibabaishwe na maneno ya Watu walioko nje”———>Mama Samia
