Mahakama ya rufaa DRC yadumisha hukumu dhidi ya Vital Kamerhe

0


Mahakama ya rufaa mjini Kinshasa imedumisha hukumu ya mwezi Juni mwaka 2020 dhidi ya mkuu wa zamani wa wafanyikazi wa umma nchi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Vital Kamerhe, kwa wizi wa zaidi ya dola milioni 48 iliyokusudiwa kwa mpango wa kumuapisha Rais Felix Tshisekedi, wavuti ya Redio Okapi imeripoti.

Hata hivyo vifungo vya Kamerhe na watuhumiwa wenzake wawili vimepunguzwa. Kamerhe sasa atahudumia kifungo cha miaka 13 gerezani badala ya miaka 20.

Mfanyabiashara wa Lebanon Sammih Jamal amefungwa miaka sita, huku Jeannot Muhima, akihukumiwa kifungo cha mwaka mmoja.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable