Mume aharibu mazao ya mkewe baada ya kukataa kubaki nyumba kwaajili ya siku ya akina baba

0


Mwanaume mmoja kutoka Kijiji cha Gichugu ameharibu mazao yanayokadiriwa kuwa na thamani ya Ksh. 200,000 (takriban Tsh. Milioni 4.3 ) baada ya Mkewe kukataa kubaki nyumbani kusherehekea Fathers Day

Imeelezwa, alitumia panga kuharibu furushi la ndizi na maparachichi ya Mke wake pamoja na Wafanyabiashara wengine waliokuwa wakijiandaa kuziuza sokoni leo

Mwanaume huyo alitaka Mkewe abaki nyumbani licha ya kwamba anajipatia riziki kwa kuuza matunda Sokoni siku ya Jumapili

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable