Raia wa Ethiopia wanapiga kura hii leo kumchagua Waziri Mkuu

0


Raia wa Ethiopia wanapiga kura hii leo kumchagua Waziri Mkuu, huku Waziri Mkuu anayeondoka madarakani Abiy Ahmed akitarajia kupata kiti hicho tena.

Uchaguzi huu unafanyika huku taifa hilo likiwa katika zozo wa kivita katika jimbo la Tigrey.

Bw Abiy anatazamiwa kupiga kura katika wilaya Beshaha iliyopo kusini- magharibi mwa Ethiopia alikozaliwa.

Wandishi wa BBC wametuma picha za watu wakipiga kura katika maeneo yaBeshaha na Agaro.

Agaro ni mjiuliopo katika jimbo ambako Bw Abiy anagombea dhidi ya wagombea wawili wa upinzani kuchaguliwa kama mbunge katikabunge la wawakilishi la Ethiopia.

Uchaguzi huu ni jaribio la kwanza kwa Waziri Mkuu tangu alipoingia madarakani mwaka 2018.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable