Nguli wa muziki na filamu toka nchini Marekani, Queen Latifah kutunukiwa tuzo ya heshima kwenye BET Awards 2021 (Lifetime Achievement Award)
Hii ni kutokana na mchango wake mkubwa kwenye muziki na kukuza utamaduni wa mtu mweusi.
Mshereheshaji wa mwaka huu kwenye tuzo hizo ni Taraji P. Henson na zinatarajiwa kufanyika Juni 27 katika ukumbi wa Microsoft Theater mjini Los Angeles.