Queen Latifah kutunukiwa tuzo ya heshima kwenye BET Awards

0


 Nguli wa muziki na filamu toka nchini Marekani, Queen Latifah kutunukiwa tuzo ya heshima kwenye BET Awards 2021 (Lifetime Achievement Award)

Hii ni kutokana na mchango wake mkubwa kwenye muziki na kukuza utamaduni wa mtu mweusi.

Mshereheshaji wa mwaka huu kwenye tuzo hizo ni Taraji P. Henson na zinatarajiwa kufanyika Juni 27 katika ukumbi wa Microsoft Theater mjini Los Angeles.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable