Waridi wa BBC: Everlyne, mwanamke anayehangaika na ugonjwa wa jasho kwa miaka 32

0


"Nilizaliwa Kaunti ya Kakamega ,Magharibi mwa Kenya, baada ya muda wazazi wangu walituhamisha hadi mtaa wa mabanda wa Kibera mjini Nairobi, nikiwa bado mdogo ...Suala la kutokwa na jasho kila dakika halikunisumbua' anasema Everlyne.

''Ninapomtazama binti wangu ninaona haja ya kujitokeza kwa umma kuzungumzia ugonjwa huu wa kutoa jasho jingi kila wakati , kwani nimepita changamoto nyingi hadi nilipo hivi sasa . Ni katika harakati hizi mimi na baadhi ya Wakenya wanaoishi na hali hii tuliunda muungano wetu ambao ungetupa fursa ya kusaidiana na pia kupeana nguvu .'', anasema Everlyne .

Hali hiyo inaweza kuwa kwa sababu ya hali ya kiafya, au haina sababu dhahiri, wataalam pia wanaihusisha na mtu kurithi kutoka wa ukoo wake.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable