Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imeidhinisha mauzo ya ndege 12 za kijeshi kwa Misri .
Ndege hizo ziliuzwa kwa dola bilioni 2 za Kimarekani.
Mifumo ya uongozaji wa ndege za ulinzi pamoja na vifaa vingine vya kijeshi pia vitauzwa kwa serikali ay Misri kwa dola milioni 300.
Mauzo ya silaha hizi kwa Misri yanakuja baada ya utawala wa Rais wa Marekani Joe Biden kuikosoa hivi karibuni Misri kwa ukiukaji wa haki za binadamu
