Ni ndege gani za kijeshi ambazo Marekani inaiuzia Misri?

0


 

Wizara ya mambo ya nje ya Marekani imeidhinisha mauzo ya ndege 12 za kijeshi kwa Misri .

Ndege hizo ziliuzwa kwa dola bilioni 2 za Kimarekani.

Mifumo ya uongozaji wa ndege za ulinzi pamoja na vifaa vingine vya kijeshi pia vitauzwa kwa serikali ay Misri kwa dola milioni 300.

Mauzo ya silaha hizi kwa Misri yanakuja baada ya utawala wa Rais wa Marekani Joe Biden kuikosoa hivi karibuni Misri kwa ukiukaji wa haki za binadamu

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable