BAADA YA KOREA KASKAZINI KUFYATUA KOMBORA MAREKANI YALAANI...

0

 

 


 

Kufuatia hatua ya leo ya Korea Kaskazini kufyatua kombora la masafa marefu Marekani imelaani kitendo hicho na kuitaka Serikali ya Taifa hilo kujiepusha na vitendo vya kudhoofisha zaidi hali ya utulivu
 
Taarifa za ndani za Korea Kaskazini zinaonesha kuwa Taifa hilo linajiandaa na maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 110 ya kuzaliwa kwa Mwasisi wake Kim Sung II yanayaotarajiwa kufanyika April 2022 ambapo inasemekana Serikali ya Pyonyang inaweza kuitumia kufanya majaribio ya silaha nzito zaidi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable