ZAIDI YA WANAJESHI 3000, WA URUSI WAUAWA NDEGE 14 NA HELIKOPTA NANE ZATEKETEA...

0

 

Kwa mujibu wa taarifa ya Jeshi la nchini Ukraine ambayo imechapisha kwenye ukurasa wake wa Faceebook wameeleza kuwa wanajeshi 3,500 wa Urusi waliohusika katika uvamizi nchini humo wameuawa. na kwamba mpaka sasa urusi imeshapoteza ndege 14, helikopta 8, na mizinga 102.

 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable