Nandy: Mume wangu hajawahi kuwa na mwanamke mwingine



Msanii wa Bongo Fleva @officialnandy ameamua kuweka wazi kuhusu taarifa zilizokuwa zinasambaa kuwa amegombana na mume wake @billnass baada ya kumfumania na mwanamke mwingine.

Nandy ameeleza kwenye post yake kuwa hajawahi kumuona au kumfumania Mume wake na Mwanamke mwngine hata kama wakigombana.

https://youtu.be/JiZvsD9kfxo?si=heshW_uSGX2uoq7P



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post