CHANJO YA CORONA KWA MUSEVENI BADOBADO

0

 

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema bado hajaruhusu Wataalamu wa Afya wampe chanjo ya Corona na wala Mkewe Janeth Museveni hajachanjwa hiyo chanjo ya Corona kwakuwa anataka chanjo hiyo waanze kupewa Watu ambao wanaugua Corona.
“Sababu nyingine inayonifanya nisikubali kwa sasa kupewa chanjo ya Corona ni kwasababu Mimi ni mwangalifu na nina ulinzi mkubwa kutoka kwenye mfumo wa kiusalama, pia naendelea kuangalia ni chanjo ipi ni nzuri zaidi kuitumia”- MUSEVENI
#MillardAyoUPDATES

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable