Facebook imetangaza rasmi inafanya maboresho na itaanza kuweka matangazo katika video zenye urefu wa dakika moja na kugawana faida na wenye maudhui.
Mwanzo ilikuwa katika video zenye dakika 3 ndio zinaweza kupata matangazo. Katika mabadiliko mapya FB itakuwa inaweka matangazo hata katika video zenye urefu wa dakika moja, ni njia ya kushindana na soko TikTok!
