Ifahamu hati ya kufutiwa mashitaka 'Nolle Prosequi' na vigogo walionufaika nayo Tanzania

0


Mwendesha Mashataka (DPP), ana mamlaka kisheria chini ya kifungu cha 91 (1) cha sheria ya makosa ya jinai (CPA), kuondoa mashitaka dhidi ya mtuhumiwa yeyote lakini vipo vigezo vya kawaida vya utoaji wa 'Nolle' lakini kigezo kikubwa kinachotumika sana ni kama DPP anaona hakuna ushahidi wa kutosha wa kumtia hatiani mtuhumiwa. Kisheria makosa ya jinai yanapaswa kuwa na ushahidi wa kutosha na usio na shaka hata chembe ili kumtia hatiani mtuhumiwa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable