Lebanon imeshiriki mgomo wa siku moja kufuatia hali ya kiuchumi kuwa mbaya

0



Lebanon imeshiriki mgomo wa siku moja, ulioitishwa leo na shirikisho kuu la wafanyakazi, kupinga madhila ya kiuchumi na kisiasa nchini humo. Mgomo huo, unaoungwa mkono na baadhi ya vyama vya kisiasa vilioko madarakani, uliitishwa hasa kupinga hali inayozidi kudorora ya kifedha na ucheleweshwaji wa kuunda serikali. Mitaa kadhaa ya mji mkuu Beirut na barabara kuu muhimu Kusini na Kaskazini mwa nchi hiyo zilifungwa. Mkuu wa Shirikisho kuu la wafanyakazi wa Lebanon, Bachara Al-Asmar, amewatolewa wito wanasiasa wa Lebanon, kuacha malumbano na migawanyiko ili kuunda serikali ya ukombozi wa kitaifa, itakayotatua suala la kiuchumi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable