Watu kadhaa wanaswa baada ya daraja inayojengwa kuanguka Nairobi

0

Watu kadhaa wanaswa baada ya daraja inayojengwa kuanguka Nairobi

Daraja

Watu kadhaa wanahofiwa kunaswa baada ya sehemu ya kivuko cha barabara kuu inayojengwa mjini Nairobi kuanguka.

Waliyonaswa ni pamoja na wafanyikazi wa ujenzi na wauzaji wa barabarani katika soko la Kangemi jijini Nairobi.

Vyombo vya habari vya huko vinaripoti kuwa watu wasiopungua wanne tayari wameokolewa.

Kuna msongamano mkubwa wa magari katika eneo hilo jioni hii, kwani juhudi za uokoaji bado zinaendelea.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable