Polisi abaki ‘’kinywa wazi’’ huku wezi wa kutumia pikipiki wakimuibia simu ya mkononi

0

 Polisi abaki ‘’kinywa wazi’’ huku wezi wa kutumia pikipiki wakimuibia simu ya mkononi



Video ya polisi wa usalama barabarani katika mji mkuu wa Kenya Nairobi, akiibiwa siku yake ya mkononi na wanaume watatu waliokuwa kwenye pikipiki imekuwa ikisambazwa sana kwenye mitandao ya kijami.

Picha ya video hiyo iliyorekodiwa na dashcam, sinamuonesha afisa huyo akizungumza kwa simu yake kabla ya mwendesha pikipiki kupita na abiria ambaye alinyakua simu kutoka kwa polisi.

Wanaume hao wawili walitoweka kwenye msururu wa magari na kumuacha polisi akionekana hana la kufanya.

Haijawa wazi ni wapi hasa video ya tukio hilo ilichukuliwa ,lakini video inaonesha ilichukuliwa mwezi wa Julai.

Unyakuaji wa simu za mkononi, mikoba na vipuli unaofanywa na wezi wanaotumia pikipiki umekithiri jijini Nairobi.

Maafisa wamekuwa wakiwaonya watu kuwa macho wakati wanapotembea kwenye mitaa ya jiji la Nairobi.

Uhalifu kama vile ujambazi na utekaji nyarapia umeongezeka wiki huku polisi wiki hii wakitangaza kuunda kikosi maalum cha kukabiliana na uhalifu huu.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

About Us

Light Speed Template is Designed Theme for Giving Enhanced look Various Features are available Which is designed in User friendly to handle by Piki Developers. Simple and elegant themes for making it more comfortable