Serikali ya Taliban nchini Afghanistan imeyataka mataifa ya Urusi na Ukraine kukaa chini kufanya mazungumzo ili kurejesha amani na kufuta vita inayoendelea hivi sasa ambapo Urusi anashambulia maeneo ya miji kadhaa huko Ukraine.
Aidha ndani ya taarifa hiyo ya Taliban imeomba ulinzi kwa wanafunzi na wahamiaji ambao ni raia Afghanistan waliopo nchini Ukraine.
